Jeshi la Eswatini lafyatulia risasi waandamanaji - Novemba 11, 2022
Listen now
Description
Takriban madereva 100 wa mabasi madogo na mabasi ya abiria waliingia barabarani katikati mwa jiji la Manzini kutaka watu wanne waliokamatwa mapema wiki hii waachiliwe huru .
More Episodes
Historia iliaandikwa jana Jumatatu pale, rais wa zamani wa Marekani, alijipata kizimbani, kwenye mahakama moja mjini New York, na kupinga vikali mashtaka ya kashfa ya kuzuia taarifa kuhusu maisha yake ya kibinafsi, kuwekwa wazi, ili zisiathiri vibaya nafasi yake ya kushinda uchaguzi wa rais.
Published 04/23/24
Hoja za ufunguzi zatarajiwa kusikilizwa katika kesi inayomkabili Donald Trump New York
Published 04/22/24
Israeli imeishambulia Iran - Maafisa wa Marekani
Published 04/19/24