Guterres aeleza matumaini kwamba hali itaimarika Tigray baada ya kusitishwa kwa vita - Desemba 02, 2022
Listen now
Description
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Antonio Guterres amesifu hatua ya kusitisha vita katika eneo la Tigray nchini Ethiopia, wakati wa ziara yake ya kwanza tangu vita kati ya wanajeshi na wapiganaji wa Tigray vilipoanza miaka miwili iliyopita.
More Episodes
Israeli imeishambulia Iran - Maafisa wa Marekani
Published 04/19/24
Uhaba mkubwa wa petroli washuhudiwa visiwani Zanzibar
Published 04/18/24
Watalaam wa hali ya hewa watoa asababu ya mvua kubwa Tanzania
Published 04/17/24