Guterres aeleza matumaini kwamba hali itaimarika Tigray baada ya kusitishwa kwa vita - Desemba 02, 2022
Description
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Antonio Guterres amesifu hatua ya kusitisha vita katika eneo la Tigray nchini Ethiopia, wakati wa ziara yake ya kwanza tangu vita kati ya wanajeshi na wapiganaji wa Tigray vilipoanza miaka miwili iliyopita.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Published 01/27/23
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Published 01/26/23
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Published 01/25/23