Msemo: "TABIA NI NGOZI"
Listen now
Description
Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunakwenda visiwani Zanzibar huko Tanzania ambapo Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Taifa, Zanzibar, BAKIZA Dkt. Mwanahija Ali Juma anafafanua msemo TABIA NI NGOZI, karibu!
More Episodes
Hii leo jaridani utasikia kuhusu ushirikishwaji wa vijana katika vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa Maendeleo UNDP. Pia utasikia muhtasari wa habari kuhusu wasaka hifadhi huko nchini Uingereza kuhamishiwa Rwanda, Makaburi ya halaiki huko Gaza na...
Published 04/23/24
Katika mahojiano na Idhaa ya Umoja wa Mataifa, afisa mwandamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) anayehusika na masuala ya dharura na mnepo, Rein Paulsen ametahadharisha kuwa hatari ya kutokea baa la njaa nchini Sudan ni halisi na kwa hivyo wakati wa kuchukua hatua ni...
Published 04/22/24