Episodes
Published 04/16/24
Published 05/01/23
Dunia imekuwa ikizingatia siku 16 za kampeini za kutokomeza dhuluma za kijinsia kwa jamii, wadau wakitumia nguvu zote kuhamasisha jamii kujiepuesha na pia kumaliza dhulama za kijinsia.
Published 12/07/21
Mwaka 2018 aliyekuza rais wa Jumhuri ya muungano wa Tanzania hayati John pombe Magufuli ameweka marufuku ya kuwazuia wasicha waliojifungua kuendelea na masomo yao kutokana na sababu kadhaa, ila mrithi wake rais Samia Suluhu amebadili msimamo huo.
Published 11/30/21
Ripoti ya umoja wa mataifa imebaini kuwa huenda vikosi vya serikali na waasi wa TPLF, jimboni Tigray walihusika kwa ukiukaji wa haki za binadamu, umoja wa mataifa ukipendekeza uchuguzi zaidi kufanywa na wahusika kuchukuliwa hatua. Benson Wakoli anaangazia ripoti hii kwa kina katika makala haya
Published 11/23/21