24 episodes

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Jua Haki Zako RFI Kiswahili

    • Government

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

    Kenya : Serikali yaanza kutoa miili ya waumini waliofariki baada ya kususia chakula ili wamuone Yesu

    Kenya : Serikali yaanza kutoa miili ya waumini waliofariki baada ya kususia chakula ili wamuone Yesu

     Unamkumbuka  kiongozi wa wa dini Paul Mackenzi anayetuhumiwa kwa kushiwishi waumini wake kususia chakula hadi kufa, ili kukutana na yesu nchini Kenya.

    • 9 min
    Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua

    Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua

    Shirika lisilo la kiserikali la kutetea haki za binadamu la African Futures Lab, lenye makao yake jijini Brussels nchini Ubelgiji, lilizindua ripoti kushinikiza watoto chotara na mama zao kutoka nchini DRC, Rwanda na Burundi, kulipwa fidia, kutambuliwa kuwa raia wa Ubelgiji na kupata haki nyingine za msingi.

    • 9 min
    Madaktari nchini Kenya wagoma kuishinikiza serikali kuzingatia haki zao

    Madaktari nchini Kenya wagoma kuishinikiza serikali kuzingatia haki zao

    Muungano wa madaktari, wauza dawa na madakrati wa meno, KMPDU, ambao unawakilisha zaidi ya wanachama 7,000 uliitisha mgomo Machi 15, ili kudai mishahara iliyocheleweshwa, pamoja na kupewa ajira mara moja kwa madaktari wanafunzi.Mgomo ambao umesababisha hali ya sintofahamu kwa wagonjwa kwa takribani wiki tatu sasa.

    • 9 min
    DRC : Jamii ya mbilikimo yalilia serikali kuwapa nafasi kuhudumu serikalini

    DRC : Jamii ya mbilikimo yalilia serikali kuwapa nafasi kuhudumu serikalini

    Nchini DRC , mara kwa mara jamii ya mbilikimo ama wambute kama wanavyo julikana katika taifa hilo, wamekuwa kilalamikia kile wanachodai  kubaguliwa na raia kutoka jamii ya wabantu nchini DRC.

    • 10 min
    Haki za raia wa mataifa ya Afrika wanaofanya kazi katika mataifa ya ughaibuni.

    Haki za raia wa mataifa ya Afrika wanaofanya kazi katika mataifa ya ughaibuni.

    Raia wa mataifa tofauti tofauti ya Afrika ikiwemo Kenya na Uganda huelekea katika mataifa ya kiarabu kutafta ajira Kila mwaka . Changamoto nyingi zikiripotiwa.Kwenye makala haya Florence amezungumza nao wakina dada wanaofanya kazi huko .

    • 10 min
    Kenya : Dhuluma za kijinsia na mrundiko wa kesi mahakamani

    Kenya : Dhuluma za kijinsia na mrundiko wa kesi mahakamani

    Katika makala haya  tujahadili dhuluma za kijinsia swala ambalo limekuwa ni donda sugu kwenye familia zetu, na jamii kwa ujumla.

    • 10 min

Top Podcasts In Government

Strict Scrutiny
Crooked Media
The Lawfare Podcast
The Lawfare Institute
5-4
Prologue Projects
U.S. Supreme Court Oral Arguments
Oyez
The Chris Plante Show
WMAL | Cumulus Podcast Network | Cumulus Media Washington
Future Hindsight
Future Hindsight

More by RFI Kiswahili

Habari RFI-Ki
RFI Kiswahili
Afrika Ya Mashariki
RFI Kiswahili
Changu Chako, Chako Changu
RFI Kiswahili
Mjadala wa Wiki
RFI Kiswahili
Nyumba ya Sanaa
RFI Kiswahili
Wimbi la Siasa
RFI Kiswahili