Marvin amenipatia uzoefu wake kuhusu Developers’ Community nchini Kenya
Listen now
Description
Asante sana kusikiliza Yesaya Software Podcast na leo ninazungumza na Marvin Collins kutoka nchini Kenya. Marvin ni Software Developer, sasa kuna mambo machache nilipenda kujadiliana na kubadilishana mawazo kuhusu Developers' Community nchini Kenya.
More Episodes
Join the conversation with Yesaya and Anderson to talk about Switching/Sticking to Programming Languages.
Published 08/10/23
Published 08/10/23
Kwenye episode hii nimeeleza kwa kina namna ya kuandika ujumbe wa kuomba msaada kwa mtu mwenye followers wengi. Yawezekana ni programmer au mtu mwenye uzoefu kwenye eneo fulani.
Published 01/30/23