54 episodes

Ebwana mambo vipi, jina langu ni Yesaya, kila wiki ninakuletea mfululizo wa vipindi kwa njia ya sauti yaani Podcast. Dhumuni langu ni kukuhabarisha, kukuelimisha na kukuletea mijadala mbalimbali kuhusu Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na mimi nitajikita zaidi kwenye upande wa mifumo ya kompyuta.

Yesaya Software Podcast Yesaya R. Athuman

    • Education
    • 5.0 • 2 Ratings

Ebwana mambo vipi, jina langu ni Yesaya, kila wiki ninakuletea mfululizo wa vipindi kwa njia ya sauti yaani Podcast. Dhumuni langu ni kukuhabarisha, kukuelimisha na kukuletea mijadala mbalimbali kuhusu Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na mimi nitajikita zaidi kwenye upande wa mifumo ya kompyuta.

    Switching/Sticking to Programming Languages

    Switching/Sticking to Programming Languages

    Join the conversation with Yesaya and Anderson to talk about Switching/Sticking to Programming Languages.

    • 1 hr 6 min
    Andika Ujumbe wa Msaaada Utakaojibiwa na Mtu Mwenye Followers Wengi

    Andika Ujumbe wa Msaaada Utakaojibiwa na Mtu Mwenye Followers Wengi

    Kwenye episode hii nimeeleza kwa kina namna ya kuandika ujumbe wa kuomba msaada kwa mtu mwenye followers wengi. Yawezekana ni programmer au mtu mwenye uzoefu kwenye eneo fulani.

    • 6 min
    Niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na Fursa zilizopo kwa Developers

    Niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na Fursa zilizopo kwa Developers

    Nimeandaa mjumuisho wa mambo niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na hamasa niliyopata na hivyo nimeona vyema niweze kukushirikisha wenzetu walipo ili nasi tupate kupiga hatua zaidi.

    Ndugu yangu, sikuwahi kujua event ya developers kuwa na wahudhuliaji zaidi ya 3000, vyombo kuletwa na kontena la 40 futi. Yaani nina mengi kukubadilisha mtazamo lakini nikaelewa ndio maana makampuni makubwa ya TEHAMA duniani yana ofisi Kenya.

    DevFestDar RSVP: http://zipa.me/devfestdar

    Be a Speaker: https://sessionize.com/devfest-dar-es-salaam

    • 23 min
    Mambo Matatu (3) Muhimu kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza Chuo

    Mambo Matatu (3) Muhimu kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza Chuo

    Tunapoelekea kufungua vyuo, nimeona ni vyema kuwapa abc wanafunzi wa mwaka wa kwanza hasa katika kozi za TEHAMA. Nimeweka mambo matatu (3) muhimu ya kuzingatia, unaweza niachia maoni yako kule Twitter @yesayasoftware.

    • 8 min
    Nitumie Browser Gani?

    Nitumie Browser Gani?

    Browser ni software application for retrieving, presenting and traversing information resources on the World Wide Web. Lakini pia inawezesha kucapture au kuinput taarifa ambayo inaweza kurudishwa kwa mfumo unaowasilisha, kisha kuhifadhiwa au kuchakatwa inapohitajika.

    • 20 min
    Usijisikie Vibaya Kugoogle

    Usijisikie Vibaya Kugoogle

    Hey, Mambo vipi,

    Leo tutazungumza kuhusu kugoogle au kutafuta majibu ya changamoto unapokuwa kwenye ujenzi wa mfumo. Je, unajisikia vibaya unapogoogle mambo kwenye mtandao kama programmer unanielewa nikisema Stack Overflow. Lakini je, kugoogle kunakufanya wewe kuwa programmer mbaya?

    Nitakueleza kwa uzoefu wangu pamoja na programmers mashuhuri kabisa ninaowafahamu ambao pia wameshare uzoefu wao katika hili. Nitakueleza pia kuna time unagoogle na hutapata kitu lakini kuna mtu unamjua ana uzoefu na sala unalohaingaika nalo, nakumbuka usemi wa waswahili, KUULIZA sio Ujinga.

    Hii ni Yesaya Software Podcast episode namba 34.

    • 16 min

Customer Reviews

5.0 out of 5
2 Ratings

2 Ratings

Top Podcasts In Education

The Mel Robbins Podcast
Mel Robbins
The Jordan B. Peterson Podcast
Dr. Jordan B. Peterson
TED Talks Daily
TED
UNBIASED
Jordan Is My Lawyer
Do The Work
Do The Work
The Rich Roll Podcast
Rich Roll