Gumzo la Wiki Podcast; Wakenya Kuhusu Mikopo na Ugumu wa Maisha
Listen now
Description
Wakenya wanailaumu serikali kwa kuchukua mikipo mara kwa mara. Aidha wanaulaumu kwa kutoweka mikakati ya kuwainua kiuchumi kutokana na athari za korona. Wanahabari wetu wa Nyeri, John Mbuthia, Moses Kiraese wa Pokot na Martin Ndiema wa Trans Nzoia wamezungumza na wakazi wa maeneo yao.
More Episodes
Suala la gharama ya maisha limeendelea kumkosesha Hasla usingizi! Ameamua kutumia mbinu tatu; mbolea ya bei nafuu, serikali na sekta binafsi kuagiza tani elfu miatatu za mbolea na kuagiza mahindi ili kukabili uhaba wa chakula. Atafaulu? Aidha, kuna more goodies kwa mahasla, Rais akipata fedha...
Published 12/17/22
Published 12/17/22
Uteuzi wa makatibu umezua mjadala, wana-Azimio wakilalamika kwamba Rift Valley na Mt.Kenya zimependelewa. Unadhani suala la kimaeneo lilizingatiwa? Aidha, Baba anadai Kinoti anaandamwa na anataka majasusi wa kimataifa kualikwa kushughulikia suala la mauaji ya kiholela. Riggy G naye hataki harufu...
Published 11/05/22