Gumzo la Wiki Podcast; Kafyu na vicheko vya UhuRuto; maoni ya Wakenya
Listen now
Description
Kuondolewa kwa marufuku ya kuwa nje kwashabikiwa na Wakenya. Aidha, Mt. Kenya yasubiri ahadi ya Uhuru kuhusu kilichomkosanisha yeye na Ruto. Huko Kisii, hulka ya kuwateketeza wazee kwa madai ya kushukiwa kuwa wachawi yazua ghadhabu na kauli kinzani. Wanahabari wetu, John Mbuthia, William Omasire na Martin Ndiema wamewashirikisha wananchi kuhusu haya.
More Episodes
Suala la gharama ya maisha limeendelea kumkosesha Hasla usingizi! Ameamua kutumia mbinu tatu; mbolea ya bei nafuu, serikali na sekta binafsi kuagiza tani elfu miatatu za mbolea na kuagiza mahindi ili kukabili uhaba wa chakula. Atafaulu? Aidha, kuna more goodies kwa mahasla, Rais akipata fedha...
Published 12/17/22
Published 12/17/22
Uteuzi wa makatibu umezua mjadala, wana-Azimio wakilalamika kwamba Rift Valley na Mt.Kenya zimependelewa. Unadhani suala la kimaeneo lilizingatiwa? Aidha, Baba anadai Kinoti anaandamwa na anataka majasusi wa kimataifa kualikwa kushughulikia suala la mauaji ya kiholela. Riggy G naye hataki harufu...
Published 11/05/22