Episodes
Siku moja bundi mzee na nyenje kijana wanakuwa majirani. Mwanzoni wanafurahia kuishi kwa pamoja, lakini kadri muda unavyopita bundi anakasirika na nyenje anavunjika moyo. Watafanya nini?
Published 03/16/11
Katika hadithi hii, marafiki zetu wanyama wenye njaa wanalazimika kutafuta njia ya kuchuma matunda mtini. Inaonekana kuwa kazi rahisi lakini mti wa maajabu wa marula unawafunza somo zuri
Published 03/16/11
Katika hadithi hii, marafiki zetu wanyama wenye njaa wanalazimika kutafuta njia ya kuchuma matunda mtini. Inaonekana kuwa kazi rahisi lakini mti wa maajabu wa marula unawafunza somo zuri
Published 03/16/11
Mwanamke kizee akamwambia Amadou. “Usijiingize katika hali usizoweza kukabiliana nazo! Fuata maagizo yangu.” Lakini wakati mwingine inahitaji uhodari mkubwa mtu kukubali udhaifu wake, kama Amadou atakavyogundua
Published 03/16/11
Mwanamke kizee akamwambia Amadou. “Usijiingize katika hali usizoweza kukabiliana nazo! Fuata maagizo yangu.” Lakini wakati mwingine inahitaji uhodari mkubwa mtu kukubali udhaifu wake, kama Amadou atakavyogundua
Published 03/16/11
Kassi na Kaloo – marafiki wasioweza kutenganishwa! Angalau hali ilikuwa hivyo kabla farasi hao wawili wa kupendeza kupandwa na wafalme wawili mahasimu. Watafanya nini wakati vita vitakapozuka kati ya falme zinazopigana?
Published 03/16/11
Kassi na Kaloo – marafiki wasioweza kutenganishwa! Angalau hali ilikuwa hivyo kabla farasi hao wawili wa kupendeza kupandwa na wafalme wawili mahasimu. Watafanya nini wakati vita vitakapozuka kati ya falme zinazopigana?
Published 03/16/11
Je unaamini hirizi za bahati na mawe ya mazingaombwe? Sawa, zuia wazo hilo na tumruhusu ngiri atueleze hadithi yake kuhusu kilichomuokoa, na vipi
Published 03/16/11
Je unaamini hirizi za bahati na mawe ya mazingaombwe? Sawa, zuia wazo hilo na tumruhusu ngiri atueleze hadithi yake kuhusu kilichomuokoa, na vipi
Published 03/16/11
Fuata nyayo za Lipua! Njiwa jasiri ana kibarua cha umuhimu mkubwa. Je Lipua atamshinda mfalme mlafi na muovu Karamba na kuwaokoa ndege wenzake wasife kutokana na njaa?
Published 03/16/11
Fuata nyayo za Lipua! Njiwa jasiri ana kibarua cha umuhimu mkubwa. Je Lipua atamshinda mfalme mlafi na muovu Karamba na kuwaokoa ndege wenzake wasife kutokana na njaa?
Published 03/16/11
Zamani paliondokea simba na fisi mwenye njaa. Kilichoanza kama uhusiano wa ajabu lakini wa furaha, kinamalizika huku fisi akiwa amejeruhiwa maisha yake yote na tai akipoteza manyoya yake kadhaa
Published 03/16/11
Zamani paliondokea simba na fisi mwenye njaa. Kilichoanza kama uhusiano wa ajabu lakini wa furaha, kinamalizika huku fisi akiwa amejeruhiwa maisha yake yote na tai akipoteza manyoya yake kadhaa
Published 03/16/11
Katika mfululizo mwingine wa kusisimua, tunautembelea ulimwengu wa mjusi kafiri Sindakh na chura aitwaye Mbott – hadithi kuhusu urafiki, uaminifu na usaliti
Published 03/16/11
Katika mfululizo mwingine wa kusisimua, tunautembelea ulimwengu wa mjusi kafiri Sindakh na chura aitwaye Mbott – hadithi kuhusu urafiki, uaminifu na usaliti
Published 03/16/11
Malaika ndiyo kwanza amerejea kutoka katika mahafali mjini na anakwenda nyumbani kusherehekea na familia yake. Huko ndiko majaaliwa yake yatakapoamuliwa
Published 03/11/11
Malaika ndiyo kwanza amerejea kutoka katika mahafali mjini na anakwenda nyumbani kusherehekea na familia yake. Huko ndiko majaaliwa yake yatakapoamuliwa
Published 03/11/11
Huko chuoni, Malaika anawajibika kumaliza elimu ya vitendo ili kukamilisha mwaka wa masomo. Kwa msaada wa rafiki yake Malaika amefanikiwa kupata shirika atakakofanyia mafunzo hayo. Je anafaulu mtihani wake wa mwisho?
Published 03/11/11
Huko chuoni, Malaika anawajibika kumaliza elimu ya vitendo ili kukamilisha mwaka wa masomo. Kwa msaada wa rafiki yake Malaika amefanikiwa kupata shirika atakakofanyia mafunzo hayo. Je anafaulu mtihani wake wa mwisho?
Published 03/11/11
Malaika anakwenda nyumbani kwa likizo yake ya kwanza. Anaitembelea shule yake ya zamani kuwahamasisha vijana kusoma na kuzuia mipango mingine ya wazazi wake kutaka aolewe. Je anaweza kuingiliana na maisha ya kijijini?
Published 03/11/11
Malaika anakwenda nyumbani kwa likizo yake ya kwanza. Anaitembelea shule yake ya zamani kuwahamasisha vijana kusoma na kuzuia mipango mingine ya wazazi wake kutaka aolewe. Je anaweza kuingiliana na maisha ya kijijini?
Published 03/11/11
Malaika anajifunza kuwa kuna vitu vya kujifunza nje ya masomo. Cindy, mkaazi mwenzake anamuonyesha jinsi ya kufurahia maisha ya chuoni lakini bado anakabiliwa na changamoto ya kutojiangusha yeye mwenyewe au kijiji chake
Published 03/11/11
Malaika anajifunza kuwa kuna vitu vya kujifunza nje ya masomo. Cindy, mkaazi mwenzake anamuonyesha jinsi ya kufurahia maisha ya chuoni lakini bado anakabiliwa na changamoto ya kutojiangusha yeye mwenyewe au kijiji chake
Published 03/11/11
Kwa msaada wa kijiji chake, na mkopo binafsi, Malaika hivi sasa anaweza kulipia ada ya chuo kikuu.Mwalimu wake wa zamani anamsindikiza katika jiji kubwa kumsaidia kujisajili na kupata makazi chuoni.
Published 03/11/11
Kwa msaada wa kijiji chake, na mkopo binafsi, Malaika hivi sasa anaweza kulipia ada ya chuo kikuu.Mwalimu wake wa zamani anamsindikiza katika jiji kubwa kumsaidia kujisajili na kupata makazi chuoni.
Published 03/11/11