Unapookoka neno la mungu huanza kushughulikia akili zako
Listen now
Description
Mungu ametupatia akili tuweze kuzitumia kwa ajili ya kutunufaisha na kutuwezesha kukua kiroho. Kwa maana macho na masikio yetu vinatusaidia kusoma biblia na akili ndiyo inayotupatia uelewa wa neno lililoandikwa kwenye Biblia.
More Episodes
Published 11/30/23
Published 07/26/21
Published 07/26/21