Haijalishi unapitia hali gani na upo kwenye kipindi gani, Mungu yuko pamoja nawe
Listen now
Description
Mwanzo 41:38‭-‬40 “Farao akawaambia watumwa wake, Tupate wapi mtu kama huyu, mwenye roho ya Mungu ndani yake? Farao akamwambia Yusufu, Kwa kuwa Mungu amekufahamisha hayo yote, hapana mwenye akili na hekima kama wewe. Basi wewe utakuwa juu ya nyumba yangu, na kwa neno lako watu wangu watatawaliwa. Katika kiti cha enzi tu nitakuwa mkuu kuliko wewe.”
More Episodes
Published 11/30/23
Published 07/26/21
Published 07/26/21