Namna ya kujiandaa kukikabili kipindi hiki cha siku za mwisho (Sehemu ya tatu)
Listen now
Description
Shida ya wengi wanataka waishi mpaka watakapokuwa wazee ile saa wanakaribia kufa ndipo wanatafuta mchungaji waokoke. Kijana wetu Joshua alikufa akiwa mdogo na wenzake wakaniuliza swali “Baba kwanini Mungu alimchukua Joshua akiwa bado mdogo sana wakati biblia inasema kuwa tunaweza kuishi miaka 70 na tukiwa na nguvu miaka 80. Sasa kwa nini Yeye amekufa mapema sana”
More Episodes
Published 11/30/23
Published 07/26/21
Published 07/26/21