Namna ya kujiandaa kukikabili kipindi hiki cha siku za mwisho
Listen now
Description
Mathayo 24:48-51 “Lakini mtumwa yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia; akaanza kuwapiga wajoli wake, na kula na kunywa pamoja na walevi; bwana wake mtumwa huyo atakuja siku asiyodhani, na saa asiyojua, atamkata vipande viwili, na kumwekea fungu lake pamoja na wanafiki; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.”
More Episodes
Published 11/30/23
Published 07/26/21
Published 07/26/21