Kama huna uhakika Yesu akikuita muda huu huna uhakika hakikisha leo unaokoka
Listen now
Description
1 Wathesalonike 5:1-2
“Lakini, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira, hamna haja niwaandikie. Maana ninyi wenyewe mnajua yakini ya kuwa siku ya Bwana yaja kama vile mwivi ajavyo usiku.”