E10 NCHA KALI | NAMNA YA KUAMILIANA NA WATU | SHEIKH HARUNA RASI KHAMIS | PODCAST
Listen now
Description
ni kipindi kinachoelezea namna ambavyo muislam anatakiwa kuamiliana na wanaadamu wenzake  00:00-01:17 Clip ya utangulizi  01:18-04;55 Ufunguzi  04:55-06:07 Jamii inaudhaifu kiasi ganikwenye suala la kuamiliana   06:08-13:20 Makosa yanayofanyika katika kuamiliana na watu  13:22-19:45 Kinachopelekea baadhi ya maduati kuwa na miamala mibovu  19:46-27:03 Miamala ya ndoa  27:07-37:50 Sifa za miamala mizuri  37:51-41:27 Mifano ya makosa ya kuamiliana  41:30-46:10 Nasaha kwa viongozi na miamala  46:15-52:00 Namna ya kuamiliana na wasio waislam  52:01-56:28 Namna ya kuamiliana na mshindani wa biashara  56:30-59:26 Nasaha kwa umma  59:27-01:00:51 kufunga mwisho
More Episodes
Sheikh Zuberi Nkwabi amezungumzia namna ya wanaume kuwa viongozi kwa wanawake
Published 03/02/24
Published 03/02/24
Katika episode hii Dr. Mbwarali Kame amejaribu kuzungumzia maadili ya mtoto
Published 03/02/24