Muaji yatokea wakati wa maandamano dhidi ya M23, DRC - Septemba 23, 2022
Listen now
Description
Mtu mmoja ameuawa na wawili kujeruhiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Alhamisi wakati wa maandamano dhidi ya kundi la M23, Maafisa wa serikali katika eneo hilo wamesema.
More Episodes
Vikao vya mazungumzo ya amani nchini Sudan Kusini vinatarajiwa kuanza Rasmi hii leo mjini Nairobi, nchini Kenya.
Published 05/10/24
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Published 05/09/24
Serikali za nchi mbalimbali katika ukanda wa Afrika Mashariki zatoa tahadhari kwa raia, kufuatia mvua kuba zinazoendelea, zilizosababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.
Published 05/08/24