Rais Biya aadhimisha miaka 40 madarakani - Novemba 07, 2022
Listen now
Description
Rais Paul Biya wa Cameroon anaadhimisha miaka 40 madarakani huku maswali mengi yakiulizwa kuhusu kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 89. Biya hajaonekana hadharani tangu Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, kutembelea taifa hilo la Afrika ya Kati mwezi Julai.
More Episodes
Ripoti ya kila mwaka ya shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Amnesty International, inaonyesha hali bado ni mbaya nchini Zimbabwe, DRC na Ethiopia, licha ya kuisifu Zimbabwe kwa kutekeleza sheria kulinda watoto dhidi ya mimba za mapema.
Published 04/25/24
Benki ya Dunia yasitisha ufadhili wa mradi wa utalii na uhifadhi nchini Tanzania
Published 04/24/24
Historia iliaandikwa jana Jumatatu pale, rais wa zamani wa Marekani, alijipata kizimbani, kwenye mahakama moja mjini New York, na kupinga vikali mashtaka ya kashfa ya kuzuia taarifa kuhusu maisha yake ya kibinafsi, kuwekwa wazi, ili zisiathiri vibaya nafasi yake ya kushinda uchaguzi wa rais.
Published 04/23/24