Matokeo ya uchaguzi Marekani yaendelea kutangazwa - Novemba 09, 2022
Listen now
Description
Wamarekani wanaendelea kupokea na wengine kusubiri matokeo ya uchaguzi wa katikati ya muhula uliofanyika Jumanne.
More Episodes
Jeshi la Kenya Alhamisi lilifanya operesheni kuwaokoa wahanga wa mvua kubwa iliyosababisha vifo
Published 04/26/24
Ripoti ya kila mwaka ya shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Amnesty International, inaonyesha hali bado ni mbaya nchini Zimbabwe, DRC na Ethiopia, licha ya kuisifu Zimbabwe kwa kutekeleza sheria kulinda watoto dhidi ya mimba za mapema.
Published 04/25/24
Benki ya Dunia yasitisha ufadhili wa mradi wa utalii na uhifadhi nchini Tanzania
Published 04/24/24