Sehemu ya pili ya maongezi yetu na KBC, ambaye wengi wanamfahamu kama Kibacha
Huyu ni mojawapo wa mwamba muhimu wa Hip Hop ya Tanzania.
Unaambiwa zama zake, Kipaza kilimuogopa kama ukoma, Rafiki wa mashairi na mchenguaji mashuhuri. Gwiji wa mtindo huru na Battle Emcee haswaaa.
Kibacha ni...
Published 11/22/22