Tanzania Adapts: Ukweli mchungu kuhusu mabadiliko ya tabia ya nchi.
Listen now
Description
In this Episode Marygoreth Richard seats with Prof. Dr. Aidan Msafiri (PhD), A University lecturer, UN climate change Ambassador for Tanzania and a Founder and Managing Director of Kilimanjaro Consortium Development and Environment Ecoplus (KCDE). In this fascinating conversation Prof Aidan goes back to the history and science behind climate change and its effects globally and in the country and ways in which we can adapt to those changes. Katika Episode hii Marygoreth Richard anazungumza na Prof. Dr. Aidan Msafiri (PhD), Mhadhiri wa Chuo Kikuu, Balozi wa mabadiliko ya tabia ya nchi wa Umoja wa mataifa nchini Tanzania lakini pia ni mwanzilishi wa Kilimanjaro Consortium Development and Environment Ecoplus (KCDE). Katika mazungumzo haya Prof Aidan anaturudisha kwenye historia na sayansi nyuma ya mabadiliko ya tabia ya nchi na namna yanavyoendelea na yatakavyoendelea kuleta athari kama hatua hazitachukuliwa. Ametaja hatua mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko hayo kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
More Episodes
Published 06/21/23
Kwenye episode hii ya 17 Tanzania Adapts Podcast - Marygoreth Richard amekaa meza moja kuzungumza na Felister Mahuya kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kujadili namna mabadiliko ya tabia ya nchi yanavyosababisha kutofikiwa kwa haki za msingi za binadamu na namna jamii inavyoweza...
Published 05/26/23
 “Nilijifunza kupitia mtandao kuanzia nyumbani kwa kutumia sufuria na familia yangu waliona napoteza muda kwa ninachofanya lakini nilisema hapana kwakuwa nimesoma mtandaoni kuwa Plastic ina fursa kubwa sana ambayo hatujaitumia ipasavyo hapa Tanzania” Hellen Sailas (26years). Hellen ni mgeni wetu...
Published 05/11/23