Mambo Matatu (3) Muhimu kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza Chuo
Listen now
Description
Tunapoelekea kufungua vyuo, nimeona ni vyema kuwapa abc wanafunzi wa mwaka wa kwanza hasa katika kozi za TEHAMA. Nimeweka mambo matatu (3) muhimu ya kuzingatia, unaweza niachia maoni yako kule Twitter @yesayasoftware.
More Episodes
Join the conversation with Yesaya and Anderson to talk about Switching/Sticking to Programming Languages.
Published 08/10/23
Published 08/10/23
Kwenye episode hii nimeeleza kwa kina namna ya kuandika ujumbe wa kuomba msaada kwa mtu mwenye followers wengi. Yawezekana ni programmer au mtu mwenye uzoefu kwenye eneo fulani.
Published 01/30/23