Niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na Fursa zilizopo kwa Developers
Listen now
Description
Nimeandaa mjumuisho wa mambo niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na hamasa niliyopata na hivyo nimeona vyema niweze kukushirikisha wenzetu walipo ili nasi tupate kupiga hatua zaidi. Ndugu yangu, sikuwahi kujua event ya developers kuwa na wahudhuliaji zaidi ya 3000, vyombo kuletwa na kontena la 40 futi. Yaani nina mengi kukubadilisha mtazamo lakini nikaelewa ndio maana makampuni makubwa ya TEHAMA duniani yana ofisi Kenya. DevFestDar RSVP: http://zipa.me/devfestdar Be a Speaker: https://sessionize.com/devfest-dar-es-salaam
More Episodes
Join the conversation with Yesaya and Anderson to talk about Switching/Sticking to Programming Languages.
Published 08/10/23
Published 08/10/23
Kwenye episode hii nimeeleza kwa kina namna ya kuandika ujumbe wa kuomba msaada kwa mtu mwenye followers wengi. Yawezekana ni programmer au mtu mwenye uzoefu kwenye eneo fulani.
Published 01/30/23