Fatima and Maryam | Kiswahili
Listen now
Description
Kutoka Kenya hadi Angola, sasa tunakwenda moja kwa moja hadi Morocco! Wiki hii, hadithi tunayorejelea tena ni kuhusu chuo kikuu cha kwanza kabisa duniani!
More Episodes
Katika kipindi hiki cha KaBrazen, Tata Nduta anasimulia hadithi ya kusisimua kuhusu msichana aliyekuwa na ndoto ya kuimba. Bi Kidude aliimba kwa zaidi ya karne moja huko Zanzibar na kote kote duniani, na anatukumbusha kusikiliza kile kinachotufurahisha…kwani nyoyo zetu zinajua cha...
Published 05/17/24
Published 05/17/24
Ili kuutamatisha msimu wetu wa kwanza wa kiswahili, tunakusimulia hadithi ya Zarina Patel, msichana mdogo aliyeokoa bustani ya Jeevanjee kwa kuzuia igeuzwe kuwa maegesho ya magari. Kwa hivyo waite wenzako, mketi starehe na mfurahie hadithi hii!
Published 11/17/23